Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi (aliyeketi) na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Abdallah Juma
Sadallah 'Mabodi' mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sheikh Abeid Amani Karume mjini Unguja  tayari kushiriki katika Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zitazofikia kilele
siku ya Jumapili Januari 12, 2020 .PICHA NA IKULU.
 



 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sheikh Abeid Amani Karume mjini Unguja  tayari kushiriki katika Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zitazofikia kilele siku ya Jumapili Januari 12, 2020
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa na ngoma za utamaduni mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sheikh Abeid Amani Karume mjini Unguja
tayari kushiriki katika Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zitazofikia kilele siku ya Jumapili Januari 12, 2020

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...