Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi (aliyeketi) na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Abdallah Juma
Sadallah 'Mabodi' mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sheikh Abeid Amani Karume mjini Unguja tayari kushiriki katika Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zitazofikia kilele
siku ya Jumapili Januari 12, 2020 .PICHA NA IKULU.
Sadallah 'Mabodi' mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sheikh Abeid Amani Karume mjini Unguja tayari kushiriki katika Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zitazofikia kilele
siku ya Jumapili Januari 12, 2020 .PICHA NA IKULU.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sheikh Abeid Amani Karume mjini Unguja tayari kushiriki katika Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zitazofikia kilele siku ya Jumapili Januari 12, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa na ngoma za utamaduni mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sheikh Abeid Amani Karume mjini Unguja
tayari kushiriki katika Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zitazofikia kilele siku ya Jumapili Januari 12, 2020
tayari kushiriki katika Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zitazofikia kilele siku ya Jumapili Januari 12, 2020
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...