RAIS wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein 
akikata utepe kuashiria Ufunguzi wa Jengo la Skuli ya Biashara Mombasa 
Zanzibar, ikiwa ni Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya 
Zanzibar. (kushoto kwa Rais) Mfadhili Mkuu wa Ujenzi wa Skuli hiyo kwa 
kushirikiana na Serikali katika kukamilisha ujenzi huo Mhe. Ahmada Yahya
 Abdulwakil na( kulia kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali 
Zanzibar.Mhe. Riziki Pembe Juma.(Picha na Ikulu) 

RAIS wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein 
akiweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Biashara Mombasa Zanzibar (kushoto 
kwa Rais) Mfadhili Mkuu wa Ujenzi wa Skuli hiyo kwa kushirikiana na 
Serikali katika kukamilisha ujenzi huo Mhe. Ahmada Yahya Abdulwakil na( 
kulia kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar.Mhe. Riziki
 Pembe Juma.(Picha na Ikulu) 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
 Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akitembelea Jengo jipya la
 Skuli ya Biashara Mombasa Zanzibar, baada ya kuifungua ikiwa ni 
shamrashamra za Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya 
Zanzibar, akiwa katika na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali 
Zanzibar.Mhe.Riziki Pembe Juma.(Picha na Ikulu)RAIS wa Zanzibar na 
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akitembelea 
Jengo jipya la Skuli ya Biashara Mombasa Zanzibar, baada ya kuifungua 
ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi
 ya Zanzibar, akiwa katika na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali 
Zanzibar.Mhe.Riziki Pembe Juma.(Picha na Ikulu)

RAIS wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamede 
Shein, akiwa katika moja ya darasa la Skuli ya Biashara Mombasa 
Zanzibar, baada ya kuifungua Skuli hiyo, ikiwa ni shamrashamra za 
kuadhimisha sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, (kulia kwa 
Rais) Mfadhili Mkuu wa ujenzi huo na Mwakilishi wa kuteuliwa Mhe.Ahmada 
Yahya Abdulwakil na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar.Mhe. 
Riziki Pembe Juma na (kushoto kwa Rais) Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na 
Mafunzo ya Amali Zanzibar.Dkt. Idrisa Muslim Hijja.(Picha na Ikulu)

RAIS wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein 
akiangalia moja ya meza katika darasa la Skuli ya Biashara Mombasa 
Zanzibar (kulia kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali 
Zanzibar.Mhe.Riziki Pembe Juma.(Picha na Ikulu)

WAZIRI wa 
Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar.Mhe.Riziki Pembe Juma akizungumza 
katika hafla ya Ufunguzi wa jengo jipya la Skuli ya Biashara Mombasa 
Zanzibar, ikiwa ni shamrashamra za kuadhimisha Miaka 56 ya Mapinduzi ya 
Zanzibar.(Picha na Ikulu)

RAIS wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein 
akihutubia wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jengo jipya la Skuli ya 
Biashara Mombasa Zanzibar la ghorofa mbili ikiwa ni shamrashamra za 
kusherehekea Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, hafla hiyo imefanyika 
katika viwanja vya Skuli hiyo Mombasa Wilaya ya Magharibi “B” 
Unguja.(Picha na Ikulu) 

BAADHI ya 
Walimu wa Skuli ya Biashara Mombasa Zanzibar wakifuatilia hutuba ya 
ufunguzi wa jengo jipya la Skuli ya Biashara Mombasa Zanzibar, wakati 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia (hayupo pichani)(Picha na Ikulu)

WANAFUNZI wa 
Skuli Biashara Mombasa Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na 
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia 
wakati wa hafla ya Ufunguzi wa jengo jipya la Skuli ya Biashara Mombasa 
Zanzibar, ikiwa ni shamrashamra za kuadhimisha Miaka 56 ya Mapinduzi ya 
Zanzibar.(Picha na Ikulu)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...