Ofisa Uhusiano na Matukio wa Airtel Tanzania, Dangio Kaniki, akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Kiguza iliyopo Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani baada ya kukabidhi msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na wafanyakazi ikiwa ni msaada toka kwa wafanyakazi  Wanawake wnaofanya kazi Airtel. Hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki.
 Meneja wa Kitengo cha kuhudumia wateja wakubwa Airtel Tanzania, Alice Maziku, akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Kiguza iliyopo Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani baada ya kukabidhi msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na wafanyakazi  Wanawake wnaofanya kazi Airtel. Hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki.
 Meneja wa Kitengo cha kuhudumia wateja wakubwa Airtel Tanzania, Alice Maziku, akimkabidhi msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Kiguza iliyopo Mkuranga, ikiwa ni msaada toka kwa wafanyakazi  Wanawake wanaofanya kazi Airtel. Hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki.
 Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kiguza iliyopo Mkuranga, Radhia Mpangile, akiwagawia taulo za kike wanafunzi baada ya kukabidhiwa na wanafanyakazi wa Airtel Tanzania ikiwa ni msaada toka kwa wafanyakazi  Wanawake wanaofanya kazi Airtel. Hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...