Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), wakati alipofika kujitambulisha na kufanya mazungunzo, Ikulu Zanzibar, leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (wapili kushoto), baada ya kumaliza mazungumzo yao, yaliyofanyika Ikulu Zanzibar, leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein (kulia), akimsikiliza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (wapili kulia), alipokuwa akizungumza Ikulu Zanzibar, leo.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (wapili kushoto) akimsikiliza Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Sururu, alipokuwa anamuonyesha kiwanja kilichopo eneo la Mwanakwerekwe ambacho Ofisi za Uhamijai Mkoa wa Mjini Magharibi zitajengwa hivi karibuni.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia) akimsikiliza Kamishna wa Polisi Zanzibar, Mohamed Hassan Haji alipokuwa jengo la Kituo cha Polisi Chukwani, Mkoani Mjini Magharibi ambacho kipo hatua ya mwisho kukamilika.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...