Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akiongoza majadiliano wakati wa kongamano la vijana kujadili fursa za kilimo mifugo na uvuvi kwa mikoa ya Tabora,Singida,Dodoma na Kigoma katika ukumbi wa Mtemi Isike Mwanakiyungi leo mjini Tabora.
 Kijana Raphael Malongo( kushoto)  toka mkoani Singida akitoa ushuhuda wa mafanikio aliyoyapata baada ya mafunzo kwa vitendo toka nchini Benin yaliyomwezesha kuanzisha kilimo biashara na kuajili vijana wenzie Singida.Kulia ni Mwezeshaji wa kongamano Joseph Massimba wa SUGECO Morogoro.
 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akiwa na vijana wakisoma maazimio ya mkoa kuhusu upandaji miti mara baada ya kupanda miti ya kumbukumbu akihimiza vijana kupanda miti naili kutunza mazingira na kupata ajira.
 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akiwa na vijana mara baada ya kumaliza zoezi la upandaji miti ikiwa ni uhamasishaji kilimo cha miti na kuzalisha ajira kwa vijana wa mikoa ya Tabora,Singida,Dodoma na Kigoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...