Mkurugenzi wa Huduma za Kidijitali wa Vodacom Tanzania PLC, Nguvu Kamando (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kwenye semina ya maadhimisho ya wiki ya ubunifu leo, Vodacom imetoa fursa kwa wanavyuo waliomaliza masomo na wenye uwezo wa ubunifu ili kuwawezesha kufikia malengo yao ya ubunifu kwa kushirikiana na SmartLab. Wengine kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Smartlab Tanzania, Edwin Bruno na Muwezeshaji wa mdahalo huo, Tunu Makamula

Mkurugenzi wa Huduma za Kidijitali wa Vodacom Tanzania PLC, Nguvu Kamando (kushoto)akizungumza na waandishi wa habari kwenye semina ya maadhimisho ya wiki ya ubunifu leo, Vodacom imetoa fursa kwa wanavyuo waliomaliza masomo na wenye uwezo wa ubunifu ili kuwawezesha kufikia malengo yao ya ubunifu kwa kushirikiana na SmartLab. Kushoto yake ni Mkurugenzi Mkuu wa Smartlab Tanzania, Edwin Bruno

Mkurugenzi Mkuu wa Smartlab Tanzania, Edwin Bruno akizungumza na wadau wa Teknolojia kwenye semina ya wiki ya ubunifu leo jijini Dar Es Salaam

Wadau wa Teknolojia wakimfuatilia kwa makini mtoa mada
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...