Mkurugenzi wa Huduma za Kidijitali wa Vodacom Tanzania PLC, Nguvu Kamando (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kwenye semina ya maadhimisho ya wiki ya ubunifu leo, Vodacom imetoa fursa kwa wanavyuo waliomaliza masomo na wenye uwezo wa ubunifu ili kuwawezesha kufikia malengo yao ya ubunifu kwa kushirikiana na SmartLab. Wengine kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Smartlab Tanzania, Edwin Bruno na Muwezeshaji wa mdahalo huo, Tunu Makamula 
Mkurugenzi wa Huduma za Kidijitali wa Vodacom Tanzania PLC, Nguvu Kamando (kushoto)akizungumza na waandishi wa habari kwenye semina ya maadhimisho ya wiki ya ubunifu leo, Vodacom imetoa fursa kwa wanavyuo waliomaliza masomo na wenye uwezo wa ubunifu ili kuwawezesha kufikia malengo yao ya ubunifu kwa kushirikiana na SmartLab. Kushoto yake ni Mkurugenzi Mkuu wa Smartlab Tanzania, Edwin Bruno 
Mkurugenzi Mkuu wa Smartlab Tanzania, Edwin Bruno akizungumza na wadau wa Teknolojia kwenye semina ya wiki ya ubunifu leo jijini Dar Es Salaam 
Wadau wa Teknolojia wakimfuatilia kwa makini mtoa mada

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...