Mkuu wa mauzo wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC kanda ya kaskazini, Brigita Stephen (kushoto) akimkabidhi zawadi ya simu mkazi wa Longido, Sketa Mollel wakati wafanyakazi wa Vodacom Kanda ya Kaskazini walipotembelea kijiji hicho kwenye shamrashamra ya wiki ya wanawake Duniani na kutoa zawadi mbalimbali kwa wakazi wa Longido.


Wafanyakazi wa Vodacom wakiwa kwenye picha ya pamoja
Meneja wa VBU, Scola Lyakurwa (kushoto) akikabidhi zawadi

Wafanyakazi wa Vodacom (kulia) na Wanakijiji wakifurahi pamoja mara baada ya kukabidhiana zawadi mbalimbali



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...