Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia , Profesa Joyce Ndalichako, (wa pili kulia)akipata maelezo kuhusu mfumo wa shule ndani ya box (school in a box) kutoka kwa mtaalamu wa IOT kutoka kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania  PLC Faridi Seif  wakati wa mchapalo wa uzinduzi wa wiki ya Ubunifu iliyofanyika nyumbani kwa balozi wa Switzerland nchini, Kulia ni Mkurugenzi  Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC Hisham Hendi na Mkurugenzi wa  Sayansi, Teknolojia  na Ubunifu , Profesa Maulilio Kipanyula (wapili kushoto)
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia , Profesa Joyce Ndalichako, (watatu kulia) akimsikiliza Mkurugenzi  Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC Hisham Hendi.( Wapili kulia)  juu ya mfumo wa shule ndani ya boksi (school in a box) wakati wa mchapalo wa uzinduzi wa wiki ya ubunifu iliyofanyika nyumbani kwa balozi  wa Switzerland nchini. Kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni hiyo Rosalynn Mworia.  Kushoto ni mtalaam wa IOT wa Vodacom Tanzania  PLC Faridi Seif
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia , Profesa Joyce Ndalichako, (wapili kushoto) akiuliza jinsi mfumo wa shule ndani ya boksi (school in a box) unavyofanya kazi kwa mtalaam wa IOT wa Vodacom Tanzania  PLC Faridi Seif  wakati wa mchapalo wa uzinduzi wa wiki ya Ubunifu iliyofanyika nyumbani kwa balozi wa Switzerland nchini, iliyoandaliwa na Kaimu balozi, Wa pili Kulia ni Mkurugenzi  Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC Hisham Hendi na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni hiyo Rosalynn Mworia.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia , Profesa Joyce Ndalichako, (kushoto) akiteta na  Mkurugenzi  wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Rosalynn Mworia   wakati wa mchapalo wa uzinduzi wa wiki ya Ubunifu iliyofanyika nyumbani kwa balozi  wa Switzerland nchini, kulia ni Kaimu balozi  Mr Leo Nascher.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...