-Wafanyakazi bora kitengo cha mauzo nao wapatiwa tuzo
Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) chini ya Kampuni ya kimataifa ya ABInBEV, imekutana jijini Dar es Salaam na wasambazaji wa bidhaa zake kutoka nchini pote kwa ajili ya kuweka mikakati ya kuboresha zaidi usambazaji sambamba na kuwashukuru ambapo wasambazaji bora 2 wamejipatia zawadi ya magari ya kubeba mizigo kwa ajili ya kurahisisha usambazaji wa bidhaa kwa wateja na wasambazaji wengi wamejipatia vyeti na vikombe vya kutokana na kazi nzuri wanayoifanya.
Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) chini ya Kampuni ya kimataifa ya ABInBEV, imekutana jijini Dar es Salaam na wasambazaji wa bidhaa zake kutoka nchini pote kwa ajili ya kuweka mikakati ya kuboresha zaidi usambazaji sambamba na kuwashukuru ambapo wasambazaji bora 2 wamejipatia zawadi ya magari ya kubeba mizigo kwa ajili ya kurahisisha usambazaji wa bidhaa kwa wateja na wasambazaji wengi wamejipatia vyeti na vikombe vya kutokana na kazi nzuri wanayoifanya.
Mbali na wasambazaji wafanyakazi wa kitengo cha mauzo wa TBL, nao wamezawadiwa tuzo kutokana na kazi nzuri wanayoendelea kufanya katika kufanikisha malengo ya kampuni ya kuendelea kuwa kampuni bora ya bia inayoongoza nchini.
Wasambazaji katika picha ya pamoja na Mkurugenzi mkuu wa TBL,Philip Redman (katikati) baada ya kukabidhiwa zawadi na tuzo
Mkurugenzi
Mkuu wa TBL,Philip Redman (kulia) akimkabidhi mfano wa ufunguo wa gari
Happyness Joseph (Katikati) kutoka Fresa Investment baada ya kuibuka
msambazaji bora mwaka 2019 na kujishindia lori la usambazaji.
Mkurugenzi
Mkuu wa TBL,Philip Redman (kushoto) akimkabidhi mfano wa ufunguo wa
gari Richard Justine kutoka Mbeya baada ya kuibuka
Baadhi ya wafanyakazi wa matzo wakifurahi na Mkurugenzi Mkuu baada ya kushinda tuzu
Wafanyakazi wa kitengo cha mauzo wakionyesha tuzo zao katika hafla hiyo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...