Familia ya Elianshisauo Shoo inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa, Bi. Shaweraisaria Shoo  kilichotokea tarehe 14.05.2020  Arusha. Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote wa Familia, mazishi yatafanyika tarehe 19.05.2020 (jumanne) Machame Lyamungo Kati .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...