Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika  Baraza la Eid El Adh’haa  lililofanyika kitaifa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam, Julai 31, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waumini wa  Dini ya Kiislamu wakiswali swala ya  Eid El Adh’haa kitaifa  kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam, Julai 31, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika Swala ya  Eid El-Adh’haa iliyofanyika kitaifa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam, Julai 31, 2020. Wa tatu kushoto ni Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally , Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania na wa tano kushoto ni Sheikh Alhad Salum, Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 
 Waumini wa  Dini ya Kiislamu wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipozungumza katika Swala na Baraza la Eid El Adh’haa kitaifa  kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam, Julai 31, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Kamanda wa zamani wa Polisi wa Mkoa wa Dar es salaam, Suleiman Kova katika  Swala na Baraza la Eid El Adh’haa  kitaifa lililofanyika kitaifa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam, Julai 31, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...