Mgombea nafasi  Ubunge Nd.Simai Mohamed Saidi  kupitia CCM alipokuwa akijieleza kwa wajumbe wa Mkutano wa Jimbo la Tunguu kuomba Ridhaa katika Mkutano uliofanyika leo katika ukumbi wa  Dk.Ali Mohamed Shein  Kampasi ya Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA  Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
 Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Jimbo  la Tunguu CCM  wa  kura ya maoni wa kuchagua  Mwakilishi na  Mbunge  wakiingia ndani ya ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein, Kampasi ya Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA Tunguu Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja leo,[Picha na Ikulu] 20/07/2020.
 Wagombea nafasi za Mbunge na Mwakilishi Jimbo la Tunguu CCM   wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa Dk.Ali Mohamed Shein,  Kampasi ya Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA Tunguu Wlaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja  kabla  ya kuanza kujieleza kuwania nafasi hizo katika kura ya maoni   katika  mkutano mkuu uliofanyika leo.[Picha na Ikulu] 20/07/2020.
 WAGOMBEA nafasi za Mbunge na Mwakilishi Jimbo la Tunguu CCM   wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa Dk.Ali Mohamed Shein,  Kampasi ya Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA Tunguu Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja  kabla  ya kuanza kujieleza kuwania nafasi hizo katika kura ya maoni   katika  mkutano mkuu uliofanyika leo.
 WAGOMBEA nafasi za Mbunge na Mwakilishi Jimbo la Tunguu CCM   wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa Dk.Ali Mohamed Shein,  Kampasi ya Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA Tunguu  Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja  kabla  ya kuanza kujieleza kuwania nafasi hizo katika kura ya maoni   katika  mkutano mkuu uliofanyika leo.
 Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa kura ya maoni kuchagua wajumbe wa  Uwakilishi,Ubunge kupitia CCM Jimbo la Tunguu wakiwa katika  ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein  Kampasi ya Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA  Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja  ya kuanza kwa mkutano maalum uliofanyika leo.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi alipowasili katika Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa kura ya maoni kuchagua wajumbe wa  Uwakilishi,Ubunge uliofanyika leo katika ukumbi wa  Dk.Ali Mohamed Shein  Kampasi ya Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA  Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja. 
 Mgombea nafasi  Ubunge Nd.Twaha Ali Muhajir kupitia CCM alipokuwa akijieleza kwa wajumbe wa Mkutano wa Jimbo la Tunguu kuomba Ridhaa katika Mkutano uliofanyika leo katika ukumbi wa  Dk.Ali Mohamed Shein  Kampasi ya Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA  Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akitia kura katika sanduku la kura wakati kupiga kura ya maoni kuchagua wajumbe wa  Uwakilishi,Ubunge katika mkutano wa Jimbo la Tunguu uliofanyika leo katika ukumbi wa  Dk.Ali Mohamed Shein  Kampasi ya Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA  Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...