Jumanne Fadhili wa Tanzania Prisons (kushoto) akiwania mpira na Licas Kikoti wa Namungo FC katika mechi ya Ligi Kuu ya VODACOM Tanzania Bara iliyochezwa kwenye Uwanja wa Kassim Majaliwa, Ruangwa, Julai 18, 2020. Timu hizo zilitoka sare 1-1.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


  Azizi Ismail wa Tanzania Prisons akichuana vikali na Jamal Mwambeleko wa Namungo FC katika mechi ya Ligi Kuu ya VODACOM Tanzania Bara iliyochezwa kwenye uwanja wa Kassim Majaliwa, Ruangwa, Julai 18, 2020.Timu hizo zilitoka sare ya 1-1. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...