Abiria wakisubiria mabasi yatoke kwenye kivuko ili waweze kupanda
kuendelea na safari mara baada ya kushuka kutoka kwenya kivuko cha MV.
Mwanza wakitokea upande wa Busisi wilayani Sengerema. Kivuko cha MV.
Mwanza kinatoa huduma kati ya Kigongo wilayani Misungwi na Busisi
wilayani Sengerema.

PICHA ZOTE NA ALFRED MGWEN0 (TEMESA)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...