Matokeo ya Kura za maoni jimbo la Mkuranga  ,Idadi ya wapiga kura 1,218  
Kura zilizo haribika 4 na halali  1214.

Wagombea ni 15 (1)Abdallah Ulega 1138
(2) Ramadhani Mlao   50 
(3)Ally Jumanne Mawe   7 
4)Mwasiti Omari    5 
5)Ibrahim zambi 3
6)Omari kambangwa 3
7)Ramadhani Pepo 3
8)Dismas Bengese 2
9)Curtius Mwesa  1
10Saidi manzerele 1 
11)Nuruel Kavishe 1
12 Jafari  Ndande   0 
13Dominick salamba 0 
14Bruno ng’ing’o. 0 
15Eng SALUM ALLY 0 




             

  Sehemu ya Wajumbe Halali wa kikao wakifuatilia matukio mbalimbali katika  Ukumbini wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani Picha zote na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv



  Sehemu ya Wajumbe Halali wa kikao wakifuatilia matukio mbalimbali katika  Ukumbini wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Mkuranga mkoa wa PwaniPicha zote na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv.

 Sehemu ya Wajumbe Halali wa kikao wakifuatilia matukio mbalimbali katika  Ukumbini wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani Picha zote na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv



Picha zote na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...