Baadhi ya wananchi wa Kilwa wakimshangilia Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Ukote, Kilwa Kiviunje

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akimnadi Mgombea Ubunge wa CCM wa Jimbo la Kilwa Kusini, Ali Mohammed Kasinge (kulia) na Mgombea Udiwani wa Kata ya Kivinje Singino, Jafar Arobaini katika mkutano wa kampeni aliouhutubia kwenye uwanja wa Ukote, Kilwa Kivinje mkoani Lindi, Oktoba 22, 2020.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Ukote, Kilwa Kivinje,



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...