***************************************

Na Datus Mahedendeka, Jeshi la Polisi
JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa  limepata tuzo kutoka kwa Ofisi ya Mkoa wa kwa kazi linalofanya katika kupinga matukio dhidi ya Ukatili wa Kijinsia.
Akipokea tuzo hiyo kwa naiba ya Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Mrakatibu wa Polisi, Apalilia Kibona amesema tuzo hiyo italifanya Jeshi la Polisi kuongeza juhudi katika kupambana na kuzuia matukio ya uhalifu.
Amesema wataendelea kushirikiana na wadau pamoja na kufanya misako, doria maeneo ya mkoa wa Iringa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...