Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo (aliyevaa tai), akikagua matofali ya Ujenzi wa Mradi wa Nyumba za Makazi ya Askari Polisi, zilizopo eneo la Mfikiwa, Mkoa wa Kusini Pemba, wakati wa ziara ya ukaguzi wa ujenzi huo leo, lengo ikiwa ni kutatua makazi ya askari hao.Kushoto ni Kamishna wa Jeshi la Polisi  Zanzibar, Mohammed Haji Hassan.
Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Mohammed Haji Hassan (wapili kushoto),akimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo wakati wa ziara ya ukaguzi  wa  Mradi wa Ujenzi wa  Nyumba za Makazi ya Askari Polisi,leo  zilizopo eneo la Mfikiwa, Mkoa wa Kusini Pemba.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...