Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waumini wa dini ya Kiislamu alipojumuika nao leo katika Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa Masjid Jibril Mkunazini Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu].11/12/2020.

Waumini wa Dini ya Kiislamu na wananchi wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupom pichani) alipozungumza na Waumini hao leo mara baada ya  Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa Masjid Jibril Mkunazini Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu].11/12/2020. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waumini wa dini ya Kiislamu (hawapo pichani) katika Masjid Jibril Mkunazini Jijini Zanzibar leo mara baada ya Swala ya Ijumaa,mbapo pia aliwataka wananchi kundosha tofauti za kiitikadi ili kujiletea maendeleo ya Nchi yetu kwa ujumla .[Picha na Ikulu].11/12/2020.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...