Rais wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali 
Mwinyi (wa tatu kushoto) akisikiliza Hutuba pamoja na Waumini mbali 
mbali iliyotolewa na Sheikh Ali Fakih Abdallah wakati aliposhiriki 
katika Swala ya Ijumaa Iliyoswaliwa leo katika masjid Raudhwa Darajabovu
 Wilaya ya Mjini Unguja .[Picha na Ikulu] 08/01/2021.
 
Baadhi ya waumini wa Dini ya 
Kiislamu waliohudhuria katika  Swala ya Ijumaa wakisikiliza  Hutuba 
iliyotolewa na Sheikh Ali Fakih Abdallah katika  Masjid 
Raudhwa Darajabovu Wilaya ya Mjini Unguja ambapo  Rais wa Zanzibar na 
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo 
pichani) alishiriki nao katika swala hiyo leo.[Picha na Ikulu] 
08/01/2021.
 
Rais wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj  Dk.Hussein Ali 
Mwinyi (kulia aliyesimama)  akizungumza na Waumini wa Dini ya Kiislamu  
na kutoa nasaha zake  mara baada ya Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo 
katika  Masjid  Raudhwa Darajabovu  Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini 
Magharibi .[Picha na Ikulu] 08/01/2021.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa 
Baraza la Mapinduzi Alhaj  Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati)  akifuatana 
na wasaidizi wake mara baada ya swala ya Ijumaa aliposhiriki pamoja na  
Waumini wa Dini ya Kiislamu katika  Masjid  Raudhwa Darajabovu  Wilaya 
ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo.[Picha na Ikulu] 08/01/2021.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...