Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Dkt.
Dorothy Gwajima akiwasilisha maelezo kuhusu Muundo na Majukumu ya
Wizara yake katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya
Jamii kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo, Mhe. Stanslaus
Nyongo akifafanua jambo katika kikao Kamati hiyo kichofanyika Bungeni
Jijini Dodoma, kulia ni Katibu wa Kamati hiyo, Ndg. Elieka Saanya.
Kamati hiyo imepokea maelezo kuhusu Muundo na Majukumu ya Wizara ya
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...