Dorothy Gwajima akiwasilisha maelezo kuhusu Muundo na Majukumu ya
Wizara yake katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya
Jamii kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.
Nyongo akifafanua jambo katika kikao Kamati hiyo kichofanyika Bungeni
Jijini Dodoma, kulia ni Katibu wa Kamati hiyo, Ndg. Elieka Saanya.
Kamati hiyo imepokea maelezo kuhusu Muundo na Majukumu ya Wizara ya
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...