Mafundi wakiendelea na ujenzi wa barabara ya Bagamoyo kipande cha kilometa 4.3 cha Mwenge – Morocco, leo wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, kama inavyoonekana pichani.

Upanuzi wa barabara ya Bamaga - Shekilano umefikia hapa kwa sasa kama ivavyoonekana pichani Barabara hii ina urefu wa kilomita 3.7.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...