
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Marium Mwinyi alipokuwa akiangalia bidhaa mbali mbali zilizotengenezwa kutokana na Mwani na kikundi cha “UKWELI NI NJIA SAFI” chenye maskani yake Bweleo wakati alipoungana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) walipotembelea maonesho ya biashara yanayoendelea katika viwanja vya Maisara Suleiman Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 13/01/2012.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Nd.Hassan Juma Reli alipowasili katika viwanja vya maonesho ya Biashara Maisara Jijini Zanzibar leo (katikati ) Mkuu wa Wilaya ya Mjini Nd,Rashid Simai Msaraka.[Picha na Ikulu] 13/01/2021.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akifuatana na Viongozi mbali mbali wakati alipotembelea mabanda ya maonesho ya Biashara leo,yanayoendelea katika viwanja vya Maisara Suleiman Jijini Zanzibar (kulia) Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Nd,Hassan Juma Reli.[Picha na Ikulu] 13/01/2021.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...