RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwafariji Wanamichezo waliopata ajali ya kuvamiwa na gari  katika barabara ya migombani wakati wakiwa katika mazoezi Ndg. Sastenesi Amasi na Ali Abdulla, waliolzwa katika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk. Hussein Ali Mwinyi akimfariji mmoja kati ya Wanamichezo waliopata ajali ya kugongwa na gari katika barabara ya Migombani wakiwa katika mazoezi, akiwa amelazwa katika Hospitali Kuu ya Mnazimmoja Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu).

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiondoka katika viwanja vya Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar baada ya kuwatembelea na kuwafariji Wanamichezo wa Kundi la MUWAFAKI waliopata ajali ya kuvamiwa na gari wakati wakiwa katika mazoezi  barabara ya migombani Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...