Shirikisho la Mchezo wa karate
nchiniTanzania(JKA/WF-TZ)) linatarajiwa kufunguwa tawi jipya la mchezo
huo katika makao makuu ya nchi jijini Dodoma siku ya kesho Jumatatu
tarehe 25-01-2021.
Sensei
Mikidadi Hemed Kilindo(Ganchan)ambaye ni mkufunzi wa chezo wa karate
mwenye dani 4,ambaye pia ni bingwa mchezowa karate kwa Afrika Mashariki
kwa miaka tano mfululizo,ndiye atakuwa Mwalimuwa klabu hiyo,iliyopo
barabara ya (Iringa road) mkoani humo.
Sensei
Mikidadi HemedKilindo(Ganchan)amewaomba wakazi weye umri wowote wa
mkoani Dodoma kujiunga naklabu hiyo,ambapo lengo ni kueneza mchezo wa
karate nchini kote Tanzania.
Shirikisho
la Mchezo wa karate nchiniTanzania (JKA/WF-TZ) limekuwa na utaratibu wa
kusimamia matawi kutoka mikoambalimbali nchini Tanzania,lengo likiwa ni
kufundisha mchezo wa karate kwawatoto,Vijana na kwa wenye umri
tofauti,kwa dhumumi la KuimarishaAfya,Kujilinda na hata kupata ajira
Kupitia mchezo wa Karate.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...