Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk.
Wilson Mahera Charles (kushoto), akifafanua jambo kwa Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Balozi Wilson
Masilingi wakati Balozi huyo
alipotembelea Ofisi za Tume zilizopo Njedengwa jijini Dodoma leo 11 Februari
2021. Balozi Masilingi aliipongeza Tume na Serikali kwa kuweza kujenga Ofisi
zake na kusimamia vyema Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28,2020 kwa kutumia
fedha zake yenyewe.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk.
Wilson Mahera Charles (kushoto), akimweleza jambo Balozi wa Tanzania nchini
Marekani, Balozi Wilson Masilingi wakati
Balozi huyo alipotembelea Ofisi za Tume zilizopo Njedengwa jijini Dodoma leo 11
Februari 2021. Balozi Masilingi aliipongeza Tume na Serikali kwa kuweza kujenga
Ofisi zake na kusimamia vyema Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28,2020 kwa
kutumia fedha zake yenyewe. (Picha na Mroki Mroki – NEC.)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...