Meneja Masoko wa Tanga Fresh Ltd, Ally Sechonge (kulia)akiwa ameshika box la maziwa ya Tanga Freh mara baada ya kumaliza  kukimbia katika tamasha la Dam Dam lililoandaliwa na Clouds Fm leo Februari 13, 2021 katika viwanja vya Farasi Oysterbay  jijini Dar es Salaam. Ambapo amewaomba wananchi kujenga utamaduni wa kupenda kunywa Maziwa ya Tanga Fresh kila siku badala ya kusubiri washauriwe na Madaktari, Leo jijini Dar Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...