Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
akiwaongoza Waheshimiwa Wabunge kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa
aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe (CCM), Marehemu Injinia Atashasta Nditiye
katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma kabla ya mwili wake kusafirishwa
kwenda Mkoani Kigoma kwa ajili ya mazishi.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza wakati wa shughuli ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe (CCM), Marehemu Injinia Atashasta Nditiye katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Mkoani Kigoma kwa ajili ya mazishi.
PICHA NA BUNGE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...