WAFANYABIASHARA wa matunda katika Soko la Tazara  leo Febuari 19,2021  jijini Dar es Salaam wameeleza hali ya upatikanaji wa matunda yakiwemo matikiti maji wanayouza kwa wateja wao sokoni hapo.


Wakizungumza na Michuzi Blog jijini Dar es Salaam wafanyabiashara hao wametaja bei ya  tikiti maji moja ni kati ya  Shilingi 700 hadi 4500.






Kazi ya kupanga matikiti maji ukiendelea. (Picha  zote na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV.)


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...