Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Dkt. Mohamed Seif Hatib
nje ya Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma tarehe 19 Januari 2021, baada ya
kufungua Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili. Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya
Marehemu Dkt. Mohamed Seif Hatib Mahali pema Peponi Amin.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...