Meneja Biashara na Mkakati wa Mauzo wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC kanda ya kati, Baraka Siwa akizungumza kuhusu huduma za fedha zinazotolewa na kampuni hiyo wakati wa mafunzo kwa waratibu wa wafanyabiashara wa huduma ndogo za fedha lililofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma. Vodacom Tanzania ni mdau wa huduma za fedha kwa njia ya mtandao kupitia M-pesa.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...