Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda (Kulia,)akijadili jambo na Katibu Mkuu wake Bw.Gerald Kusaya,katika Mkutano wa wafanyabiashara wa mazao ya nafaka wenye lengo la kujadili changamoto zilizopo kwenye mazao hayo nchini kilichofanyika  leo Februari 13,2021 jijini Dodoma.
Baadhi ya washiriki wakimsikiliza Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda, wakati akifungua  Mkutano wa wafanyabiashara wa mazao ya nafaka wenye lengo la kujadili changamoto zilizopo kwenye mazao hayo nchini kilichofanyika  leo Februari 13,2021 jijini Dodoma.
Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda, akizungumza wakati akifungua  Mkutano wa wafanyabiashara wa mazao ya nafaka wenye lengo la kujadili changamoto zilizopo kwenye mazao hayo nchini kilichofanyika  leo Februari 13, 2021 jijini Dodoma.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...