Familia ya Kawawa na Kayugwa kwa pamoja tunawaarifu kuwa mazishi ya Marehemu Mchungaji Annette Ashura Kawawa  yatafanyika  siku ya Jumatano tarehe 3/3/2021 saa 10 alasiri kwenye Makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam.

 

Kabla ya hapo kutakuwa na ibada ya mazishi na heshima za mwisho kwa Marehemu itakayofanyika Siku hiyohiyo kwenye viwanja vya Leaders club Kinondoni kuanzia saa 6 mchana.

 

AMEVIPIGA VITA VILIVYO VIZURI, MWENDO AMEUMALIZA, IMANI AMEILINDA".  2Timothy 4:7

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...