RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Husssein Ali
Mwinyi akizungumza na Katibu Mkuu Kiongozi wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Balozi.Dkt. Bashiri Ally, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar
kwa mazungumzo na kujitambulisha, mazungumzo hayo yamefanyika katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu) RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk, Hussein Ali
Mwinyi akizungumza na Katibu Mkuu Kiongozi wa Jamuhri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar
kwa mazungumzo na kujitambulisha leo 10-3-2021 na (kushoto kwa Rais)
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena
Ahmed Said, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu
Zanzibar.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...