
SIKU ya Wanawake Duniani Machi 08,2021 yanayofanyika kimkoa Wilaya ya Bahi, Dodoma.
Katika sherehe hizo wanawake walipata elimu kuhusu mambo mbalimbali, ikiwemo ujasirilimali, Elimu ya kumiliki ardhi pamoja na fursa mbalimbali zinazotokana na Kilimo.
Siku hiyo inaongozwa na Kauli Mbiu "Wanawake katika Uongozi,Chachu ya kufikia Dunia yenye usawa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...