Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro (katikati) akipokea baadhi ya nakala za vitabu vya mwongozo wa kuzuia na kufichua uhalifu katika Kata/Shehia kutoka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Jamii wa Kampuni ya vinywaji ya Coca Cola, Salum Nassoro, ambapo jumla ya nakala 2000 zilichapishwa na kukabidhiwa kwa Jeshi hilo kupitia ufadhili wa kampuni hiyo ya vinywaji, kushoto anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai DCI Robert Boaz, hafla hiyo imefanyika leo jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro (katikati) akionesha baadhi ya nakala za vitabu vya mwongozo wa kuzuia na kufichua uhalifu katika Kata/Shehia kutoka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Jamii wa Kampuni ya vinywaji ya Coca Cola, Salum Nassoro, ambapo jumla ya nakala 2000 zilichapishwa na kukabidhiwa kwa Jeshi hilo kupitia ufadhili wa kampuni hiyo ya vinywaji, kushoto ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai DCI Robert Boaz, hafla hiyo imefanyika leo jijini Dar es salaam. Picha na Jeshi la Polisi.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...