Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akipata maelezo kutoka kwa Mussa Gese Dotto Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Morogoro SUA ambae ni Mbunifu wa kutengeneza Gari Shamba, alipotembelea Maonesho ya ufungaji Wiki ya Maadhimisho ya 17 ya Kumbukizi ya Hayati Edward Moringe Sokoine yaliyofanyika leo Mei 27,2021 katika Kampasi ya Moringe Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Morogoro SUA.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akitembelea   Maonesho ya Wiki ya Maadhimisho ya 17 ya Kumbukizi ya Hayati Edward Moringe Sokoine yaliyofungwa leo Mei 27,2021 katika Kampasi ya Moringe Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Morogoro SUA.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Kituo cha kudhibiti Viumbe Hai Waharibifu Dkt. Ladslaus Mnyome kuhusu Panya aliyepata mafunzo ya kufanya Utafiti wa kugundua Vimelea vya Kifua Kikuu pamoja na kugundua Mabomu yaliyotegwa Ardhini, alipotembelea Maonesho ya ufungaji Wiki ya Maadhimisho ya 17 ya Kumbukizi ya Hayati Edward Moringe Sokoine yaliyofanyika leo Mei 27,2021 katika Kampasi ya Moringe Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Morogoro SUA.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...