Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Hamad Hassan Chande (kulia), akutana na Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa Nchini Sweden Mhe. Janine Alm Erickson kujadili maeneo ya ushirikiano kati ya Sweden na Tanzania katika masuala ya Mabadiliko ya Tabia Nchi, Nishati jadidifu pamoja na uchumi wa blue. Kikao hicho kimefanyika leo 28/5/ 2021 katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es salaam na kimehudhuriwa na Balozi wa Sweden Anders Sjoberg, maafisa kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais na NEMC

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...