Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akipokelewa na mwenyeji wake Waziri wa Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto wa Msumbiji Mhe. Nyeleti Brooke Mondlane katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Mavalane  jijini Maputo Msumbiji.Rais Mwinyi atamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali ( SADC Extraordinary Double Troika Summit) unatarajiwa kuanza leo tarehe 27. Mei 2021.  Picha na IKULU


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...