Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akipokelewa na mwenyeji wake Waziri wa Ustawi wa Jamii, Jinsia na Watoto wa Msumbiji Mhe. Nyeleti Brooke Mondlane katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Mavalane jijini Maputo Msumbiji.Rais Mwinyi atamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali ( SADC Extraordinary Double Troika Summit) unatarajiwa kuanza leo tarehe 27. Mei 2021. Picha na IKULU
Home
HABARI
ZANZIBAR
RAIS WA ZANZIBAR DKT HUSSEIN ALI MWINYI AMUWAKILISHA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MKUTANO WA DHARURA WA NCHI NA SERIKALI ZA SADC NCHINI MSUMBIJI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...