Wajasiliamali wa  jiji la Ilala mkoa wa Dar es Salaam wakiwa  wamepanga bidhaa zao kandokando ya Barabara katika  kituo cha Daladala  wakiwasubiri wateja wao wanao toka sehemu mbalimbali za jiji  wawahudumie kama inavyoonekana pichani 
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Wafanyabiashara wa viazi katika kituo cha  Mabasi Jiji Ilala mkoa wa Dar es Salaam wakiendelea na biashara zao huku wakiwasubiri wateja kutoka maeneo mbalimbali ya jiji,ambapo fungu moja la viazi linauzwa shilingi 1000/= mpaka 2000/=.kisado 4000.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...