Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi mpira na filimbi Mwamuzi  Rahma Kilimba wakati alipofungua Mashindano ya Michezo ya Shule za Msingi  (UMITASHUMTA) na  Mashindano ya Michezo ya Shule za Sekondari (UMISETA)  kwenye uwanja wa Nangwanda SIjaona mjini Mtwara, Juni 8, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na Mkewe Mary Majaliwa  (wa pili kushoto) wakisalimiana na viongozi wakati walipowasili kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara ambapo Waziri Mkuu alifungua Mashindano ya  Michezo ya Shule za Msingi (UMITASHUMTA)  na  Mashindano ya Michezo ya Shule za Sekondari (UMISETA), Juni 8, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi mpira na filimbi Mwamuzi  Emmanuel Mwandembwa wakati alipofungua Mashindano ya Michezo ya Shule za Msingi (UMITASHUMTA ) na Mashindano ya Michezo ya Shule za Sekondari (UMISETA ) kwenye uwanja wa Nangwanda SIjaona mjini Mtwara, Juni 8, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Mashindano ya Michezo ya Shule za Msingi (UMITASHUMTA)  na Mashindano ya Michezo ya Shule za Sekondari (UMISETA)  kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, Juni 8, 2021.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...