Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdori Mpango, akiagana na Baadhi ya Watumishi wa Taasisi za Serikali ya Burundi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Melkior Ndadaye Bujumbura Burundi, alipokuwa akirejea Nchini Baada ya kumuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye kumbukizi ya kutimiza Mwaka mmoja wa kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi Hayati Pierre Nkurunziza iliyofanyika jana katika Mji Mkuu wa Serikali Gitega Nchini Burundi.
(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...