
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali
mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma leo tarehe 1 Juni, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha Wageni mara
baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma leo tarehe 1 Juni, 2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...