Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia
Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka mara baada
ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma leo tarehe 1 Juni, 2021Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali
mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma leo tarehe 1 Juni, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha Wageni mara
baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma leo tarehe 1 Juni, 2021.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...