Katika kikao hicho RC Makalla alitaka kujua ni mambo gani yamekuwa kikwazo kwao hadi kusababisha Jiji kuwa Katika hali ya uchafu na nini kifanyike ili kampeni ya usafi inayopangwa kuanza hivi karibuni iweze kuwa na mafanikio makubwa.
RC Makalla amesema lengo lake ni kuona Dar es salaam inakuwa katika hali ya usafi kwakuwa Jiji hilo linabeba taswira ya Nchi na ndilo linalopokea wageni wa mataifa mbalimbali hivyo ni lazima liwe kwenye hali ya usafi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...