Shamba lenye Ekari 100  ambalo tayari limeishapimwa linauzwa .

Mahali: Shungumbweni, Mkuranga karibu na Kiwanda cha Chumvi Neel Salt

Bei: Mil.150,000,000 (mazungumzo yapo) .

Umbali: Kilomita 5 kutoka baharini, Kilomita 26 kutoka barabara kuu ya Dar-Lindi, (Unaweza Ingilia kwa njia ya Kibada-Mwasonga pia).

Shamba lina miti ya mikorosho na mianzi,kisima cha maji safi mita 72, kinatoa lita 20,000 kwa saa.

Lakini pia kwa aliye SERIOUS kununua atapewa bei ya punguzo,NAFASI ipo pia kwa anaetaka kununua kwa malipo ya AWAMU ' Installment' anakaribishwa sana.

KWA MAWASILIANO ZAIDI 📞 0763000053











Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...