TANZIA

MKUU wa Wilaya ya  Kilwa  Christopher Amiri  Ngubiagai amefiwa na mama yake mzazi Bi. Rose Ngubiagai jana asubuhi katika Hospital ya Taifa Muhimbili na maziko yatafanyika kesho  Jumamosi Kivule, Dar es salaam. 

Namna ya kufika Nyumbani kwa Christopher Ngubiagai kulipo na Msiba wa Mama yake, Fika Stand ya Banana kata kushoto kueleka Kivule, kuna kituo cha basi kinaitwa Matembele ya Pili, hapo kuna Bango la Kanisa la Nabii Suguye. Utakuta kibao kinakuelekeza kufika kwenye msiba, Au uliza kupitia no.0686892826.

Sisi sote ni wa Mungu na kwake tutarejea. Mwenyezi  Mungu ampumzishe kwa amani Mama yetu mpenzi AMINA!


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...