Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Naibu Spika wa Kwanza wa Bunge la Malawi, Madalitso Kazombo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Juni 8, 2021

Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) akizungumza na ugeni kutoka Bunge la Malawi ukiongozwa na Naibu Spika wa Kwanza wa Bunge la Malawa, Madalitso Kazombo (kushoto kwake) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Juni 8, 2021, Wapili kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson

Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na Naibu Spika wa Kwanza wa Bunge la Malawi, Madalitso Kazombo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Juni 8, 2021

Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (kulia) na Naibu Spika wa Kwanza wa Bunge la Malawi, Madalitso Kazombo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Juni 8, 2021

 (PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...