Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Khamis Hamza Chilo akilikagua Basi la Kampuni ya Classic lililopata ajali katika eneo la Buyubi mkoani Shinyanga likitoka Kampala Uganda kwenda jijini Dar es Salaam ambapo watu wanne wanaripotiwa kufariki.Ziara hiyo imefanyika usiku wa kuamkia leo.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Home
HABARI
MATUKIO
WAZIRI CHILO ATEMBELEA ENEO LA AJALI ILIYOHUSISHA BASI LA KAMPUNI YA CLASSIC LIKITOKEA NCHINI UGANDA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...