Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo amesimikwa na Wazee wa Kimila wa Wilaya Momba mkoani Songwe na kupewa jina la Mlondwa mara baada ya kupokea taarifa za Serikali na Chama. Katibu Mkuu wa CCM na Sekretarieti ya CCM Taifa wamewasili  mkoani Songwe kwa ziara ya siku mbili leo Julai 9, 2021 (Picha na CCM Makao Makuu)

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akihutubia Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi pamoja na Serikali wa mkoa wa Songwe mara baada ya kuwasili mkoani humo.Katibu  Katibu Mkuu wa CCM na Sekretarieti ya CCM Taifa wamewasili  mkoani Songwe leo Julai 9, 2021. (Picha na CCM Makao Makuu)


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...