Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akihutubia Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi pamoja na Serikali wa mkoa wa Songwe mara baada ya kuwasili mkoani humo.Katibu Katibu Mkuu wa CCM na Sekretarieti ya CCM Taifa wamewasili mkoani Songwe leo Julai 9, 2021. (Picha na CCM Makao Makuu)








Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...