WATU wanne (wanafamilia) wakazi wa Lunguya kata ya Mtwango wilaya ya Njombe wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuhusika na mauji kwa kumkata na vitu vyenye ncha kali Bi Emma Mfikwa (43) kutokana na kula njama za kufanikisha kuuawa kwa mjane huyo aliyekuwa na mgogoro na wanafamilia kwa kuishi nyumba aliyojenga na mume wake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...